
Rais Mstaafu wa Marekani, Bill Clinton
BIG 4 MILL BY FESTO ERNESTY,
Johannesburg. Siku chache kabla ya kusherehekea
siku yake ya kuzaliwa, Rais Mstaafu wa Afrika Kusini, Nelson Mandela,
Rais Mstaafu wa Marekani, Bill Clinton, amemtumia salamu maalumu za
kumtakia sherehe njema.
Clinton ambaye ni rafiki wa karibu na familia ya
Mandela, aliyeungana na Dalai Lama na Askofu wa nchi hiyo, Desmond
Tutu, walituma salamu kwa njia ya video kwa vyombo vya habari jana....