BIG 4 MILL

big4mill.blogspot.com.

Friday, 14 June 2013

HAYANDO YALIYO JIRI KATIKA MISS SHINYANGA BAATHI YA PICHA .BIG 4 MIL...

SASA MPANGO MZIMA NI DANCE MIA MIA KAA TAYARI BROTHERZ AND SISTA...

Pentezel amtangaza rasmi mwanaye Karliks , Jack Pentezel ametangaza rasmi kuwa na mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka sita hivi sasa na kumtaja jina kuwa anaitwa Karliks . Akizungumza na Mwananchi, Jack alisema hajawahi kuweka wazi awali, lakini kwa sasa anaona umuhimu wa kufanya hivyo kwa kuwa ameolewa hivyo lazima familia yake iwe huru. “Siku kubwa sana katika maisha yangu ni ile ambayo nilipata mtoto wangu wa kwanza, mimi na mume wangu Gander tumekutana akijua kwamba mimi nina mtoto Kwa...

MATONYA BADO ANAHANGAIKA RUMANDE SONGEAAAAA

Posted 22 hours ago Dar. Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Seif Shaban maarufu kama Matonya bado anaendelea kusota rumande mjini Songea baada ya kukataliwa dhamana kutokana na kufanya utapeli baada ya kulewa kupita kiasi na kushindwa kufanya shoo iliyoandaliwa na promota mmo...

MO 7 MSANII MPYA AJA NA UPINZANI MKUBWA IN THE GAME

Posted 22 hours ago Dar. Mwimbaji wa muziki wa miondoko ya mduara na kwaito Mosi Shabani a.k.a Mo 7 amesema bila kuwezeshwa na wadau wa sekta ya sanaa nchini vipaji vya wasanii chipukizi haviwezi kusonga mbele....

THE PLATNUM DIAMOND ASEMA ANAKUJA NA BONGE LA STYLE ON THE STAGE

Dar. Waliofika mwaka jana katika Tamasha la Usiku wa Matumaini wanatambua kitu gani alikifanya Nasibu Abdul ‘Diamond’ katika uwanja huo, sasa basi mwaka huu mkali huyo amesema ataongeza hamasa kwenye shoo ili kupata mashabiki wengi watakaochangia mfuko wa Mamlaka ya...

My Blog List