. Ofisa mmoja wa Usalama wa
Marekani (FBI), akiwa na mbwa jana aliingia Makao Makuu ya Polisi Kanda
Maalumu ya Dar es Salaam na kufanya ukaguzi.
Tukio hilo lilitokea muda mfupi kabla ya msafara
wa magari ya Marekani kupita yakitokea Ikulu kwenda Uwanja wa Ndege wa
Julius Nyerere kumlaki Rais Barack Obama.
Polisi ambaye hakutaka kutajwa alisema ofisa huyo aliingia na mbwa hadi maeneo ya mapokezi, lakini muda mfupi...