BIG 4 MILL

big4mill.blogspot.com.

Tuesday, 11 June 2013

Kagasheki, Lembeli wapingana kwa takwimu Share bookmark Print Email Rating Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Khamis Kagasheki  Na Hakimu Mwafongo  (email the author) Posted  Jumanne,Juni11  2013  saa 21:39 PM Kwa ufupi Taarifa za Serikali kuwa tembo 10,000 wanauawa kila mwaka si sahihi kwa kuwa zimeandaliwa na maofisa wa Serikali kwa ajili ya kuwatetea. ...

Marekani yataja sababu nne za Obama kuja Tz   Alisema kuwa Tanzania ni nchi ya mfano linapokuja suala la uongozi bora na ndiyo maana imekuwa na amani na utulivu kwa muda mrefu ikilinganishwa na nchi nyingi za Kusini mwa Jangwa la Sahara. SHARE THIS STORY ...

Baada ya Maojiano na Bongo5 Diamond alisema kwamba alishindwa kuhudhuria mashindano hayo kwa sababu alikua katika uzinduzi wa kinyaj kipya cha Novida kutoka katika Kampuni ya vinyaji Coca cola hapa Tanzania na imeweza kufanya balozi wa kinyaji hicho. Hiyo ndiyo sababu iliyomfanya star wa Bongo Flava Diamond kutokuhudhuria Tuzo hizo ambapo yeye pia alikuwa mshindi wa tuzo wakadha wakad...

Re-Ranking the NBA's Top 50 Players, 2013 Finals Edition...

Mike Conley and Tony Parker both showed off their skills during the postseason. Ronald Martinez/Getty Images . These rankings are based primarily on the events...

Sunday, June 9, 2013 KALA JEREMIAH, OMMY DIMPOZ HATIMAYE WAINUKA KIDEDEA PIA WAFUNIKA KILI MUSIC AWARDS 2013 DAR ES SALAAM, Tanzania HATIMAYE kitendawili cha nani kavuna nini katika kinyang’anyiro Kilimanjaro Tanzania Music Awards KTMA 2013, kilipata jibu usiku wa jana, ambapo kategori 37 za mchakato huo zilipata washindi, huku wasanii Kala Jeremiah na Ommy Dimpoz wakifunika kwa upande wa muziki wa kizazi kipya. Kala Jeremiah aliyekuwa karibu atwae tuzo, alijikuta akimaliza...

My Blog List