
Rais Obama akiwaaga watanzania waliofika katika Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam
Dar es Salaam. Rais wa Marekani Barack Obama
amehitimisha ziara yake ya Afrika mapema leo, kwa kutembelea mradi wa
uzalishaji umeme wa Symbion Ubungo, jijini Dar es Salaam.
Katika hotuba yake Ubungo, Rais Obama alielezea
jinsi mkakati wa serikali yake wa kuhakikisha Afrika inapata umeme
utakavyoboresha maisha ya wakazi wa bara hili.
Mapema...