BIG 4 MILL

big4mill.blogspot.com.

Saturday, 8 June 2013

  huko nchini china hari bado tete harakati za ukombozi bado ngumu     [image: Shughuli za uokozi baada ya tetemeko] Shirika la habari la taifa la Uchina linasema kuwa watu 150 wamekufa katika tetemeko kubwa la ardhi ambalo limeporomosha majengo na bara-bara katika jimbo la Sichuan, kusini-magharibi mwa nchi. Wanajeshi kama 6000 wamepelekwa kwenda kusaidia katika uokozi zaidi ya kilomita 100 kutoka Chengdu, mji mkuu wa jimbo la Sichuan . Shughuli za uokozi zinatatanishwa...

changa moto za mziki za mchaganya"ally nipishe

  Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Ali Nipishe amesema kuwa tasnia ya muziki kwa msanii chipukizi ina changamoto nyingi ambazo humkwamisha katika kuyafikia mafanikio kwa uharaka zaidi. Akizungumza na Starehe, Nipishe aliyeanza muziki mwaka 2005, alisema ilimchukua muda mrefu kuyafikia mafanikio kimuziki, kutokana na changamoto nyingi zilizokuwa zikimkwamisha hasa kiuchumi. “Niliwahi kutembea kwa miguu kutoka nyumbani Manseze kwenda studio iliyokuwepo...

Kili Music Awards 2013 leo! Kitimtim MLIMANI CITYVANESSA MDEE

VANNESA MDEE Hatimaye siku imetimia, ile siku ambayo kila mja na muungwana katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya alikuwa akiingoja, usiku wa tunzo za Kilimanjaro Tanzania, zitaunguruma kuanzia saa moja hadi kuendelea, Watanzania takriban 32 wanaofanya kazi katika tasnia ya muziki wanatarajiwa kuondoka na tunzo mikononi mwao leo. Zaidi ya wasanii 100 wametajwa kuwania tunzo hizi, na wote wana imani ya ushindi na watakuwa ukumbini leo pamoja...

My Blog List