huko nchini china hari bado tete harakati za ukombozi bado ngumu
[image: Shughuli za uokozi baada ya tetemeko]
Shirika la habari la taifa la Uchina linasema kuwa watu 150 wamekufa katika
tetemeko kubwa la ardhi ambalo limeporomosha majengo na bara-bara katika
jimbo la Sichuan, kusini-magharibi mwa nchi.
Wanajeshi kama 6000 wamepelekwa kwenda kusaidia katika uokozi zaidi ya
kilomita 100 kutoka Chengdu, mji mkuu wa jimbo la Sichuan
.
Shughuli za uokozi zinatatanishwa...