BIG 4 MILL

big4mill.blogspot.com.

Sunday, 9 June 2013

SHARE THIS STORY 0inShare Dar. Msanii wa muziki wa miondoko ya R’n’B, Benard Paul maarufu kama Ben Pol wiki hii anatarajia kuachia video ya wimbo wake mpya unaoitwa Jikubali ambao ameutoa wiki iliyopita...

Nembo za TRA kusaidia sanaa

Wema Sepetu 0 inShare Dar. Kilio cha muda mrefu cha wasanii wa filamu kuibiwa kazi zao kitaisha baada utaratibu wa kuweka nembo za Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwenye mikanda ya filamu kuanza Julai, Mosi, mwaka huu. Mwenyekiti wa Chama cha Wamiliki wa Maktaba za Video Tanzania, Richard Kalinga alisema hayo Ijumaa iliyopita kwamba kuwekwa kwa nembo hiyo ya TRA itasababisha kazi ya kuwatafuta wanaoiba kazi za wasanii kuwa rahisi. Alisema...

Msanii bongo movie aliyeanza kucheza ulaya

  Kama utakuwa shabiki na mtazamaji mzuri wa filamu za bongo movie, jina la Lucy Francis Komba halitakuwa jipya masikioni mwako. Msanii huyu alianza sanaa katika Kundi la Kaole, akishiriki baadhi ya vipindi vya televisheni na baadaye kujiunga na Kikundi cha , Dar Talent ambapo alishiriki filamu moja ya vichekesho . Katika sanaa, Lucy ameshacheza filamu zaidi ya 50 zikiwemo nne alizocheza nje ya nchi. Filamu ya kwanza aliyocheza nyota huyu na kuonyesha...

My Blog List