Saturday 8 June 2013

  huko nchini china hari bado tete harakati za ukombozi bado ngumu

 
 
[image: Shughuli za uokozi baada ya tetemeko] Shirika la habari la taifa la Uchina linasema kuwa watu 150 wamekufa katika tetemeko kubwa la ardhi ambalo limeporomosha majengo na bara-bara katika jimbo la Sichuan, kusini-magharibi mwa nchi. Wanajeshi kama 6000 wamepelekwa kwenda kusaidia katika uokozi zaidi ya kilomita 100 kutoka Chengdu, mji mkuu wa jimbo la Sichuan . Shughuli za uokozi zinatatanishwa na bara-bara zilizovunjika na simu zilizokatika. Waziri Mkuu, Li Keqiang, aliwasili huko haraka kuongoza shughuli hizo. Tetemeko lilotokea katika jimbo la Sichuan mwaka wa 2008 liliuwa w... more »

0 comments:

Post a Comment

My Blog List