BIG 4 MILL

big4mill.blogspot.com.

Usisite kutembelea blog yako

Karibu nawe mahali popote... - big4mill.blogspot.com.

Tunaishi pamoja wakati wowote

http://www.big4mill.blogspot.com for more info - big4mill.blogspot.com.

Kazi zetu ni...

Tunaelimisha, kuburudisha na kadhalka.

Pata habari mbalimbali

Ndani na nje ya Tanzania/ kitaifa na Kimataifa - big4mill.blogspot.com.

Friday 14 June 2013


Pentezel amtangaza rasmi mwanaye Karliks

, Jack Pentezel ametangaza rasmi kuwa na mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka sita hivi sasa na kumtaja jina kuwa anaitwa Karliks
.
Akizungumza na Mwananchi, Jack alisema hajawahi kuweka wazi awali, lakini kwa sasa anaona umuhimu wa kufanya hivyo kwa kuwa ameolewa hivyo lazima familia yake iwe huru.
“Siku kubwa sana katika maisha yangu ni ile ambayo nilipata mtoto wangu wa kwanza, mimi na mume wangu Gander tumekutana akijua kwamba mimi nina mtoto
Kwa sababu nilikuwa namwomba Mungu anipe mtoto wa kwanza wa kiume, ilikuwa furaha yangu sana kumpata huyo huyo wa kiume. Anaitwa Karliks na ana miaka sita sasa.
Mwigizaji huyo anayetamba katika filamu mbalimbali alifunga ndoa na mumewe Machi mwaka huu (Herieth Makweta)



Mwigizaji wa filamu nchini, Jack Pentezel BIG 4 MILL

MATONYA BADO ANAHANGAIKA RUMANDE SONGEAAAAA

Posted 22 hours ago
Dar. Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Seif Shaban maarufu kama Matonya bado anaendelea kusota rumande mjini Songea baada ya kukataliwa dhamana kutokana na kufanya utapeli baada ya kulewa kupita kiasi na kushindwa kufanya shoo iliyoandaliwa na promota mmoja.

MO 7 MSANII MPYA AJA NA UPINZANI MKUBWA IN THE GAME

Posted 22 hours ago
Dar. Mwimbaji wa muziki wa miondoko ya mduara na kwaito Mosi Shabani a.k.a Mo 7 amesema bila kuwezeshwa na wadau wa sekta ya sanaa nchini vipaji vya wasanii chipukizi haviwezi kusonga mbele....

THE PLATNUM DIAMOND ASEMA ANAKUJA NA BONGE LA STYLE ON THE STAGE


Dar. Waliofika mwaka jana katika Tamasha la Usiku wa Matumaini wanatambua kitu gani alikifanya Nasibu Abdul ‘Diamond’ katika uwanja huo, sasa basi mwaka huu mkali huyo amesema ataongeza hamasa kwenye shoo ili kupata mashabiki wengi watakaochangia mfuko wa Mamlaka ya...

My Blog List