BIG 4 MILL

big4mill.blogspot.com.

Usisite kutembelea blog yako

Karibu nawe mahali popote... - big4mill.blogspot.com.

Tunaishi pamoja wakati wowote

http://www.big4mill.blogspot.com for more info - big4mill.blogspot.com.

Kazi zetu ni...

Tunaelimisha, kuburudisha na kadhalka.

Pata habari mbalimbali

Ndani na nje ya Tanzania/ kitaifa na Kimataifa - big4mill.blogspot.com.

Monday 10 June 2013


JOKATE AANZISHA KIDOTI TIME MASHULENI

Na Imelda Mtema
MLIMBWENDE aliyejitosa kwenye tasnia ya filamu za Kibongo na kufanya vizuri, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ ameanzisha Kipindi cha Kidoti Time ambacho kitafundishwa katika shule za Msingi 27 Songea vijijni Mkoani Ruvuma.

Waandishi Wetu Dar na Morogoro

KWAHERI mfalme wa freestyle! Ndivyo walivyokuwa wakisema mashabiki wa aliyekuwa mkali wa Hip Hop Bongo, marehemu Albert Kenneth Mangweha ‘Ngwea’ wakati wakiuaga mwili wake, tayari kwa safari ya kaburini.…
  BIG 4 MILL

MAJAMBAZI YALIYOVAA KIKEKIKE YAUAWA!

BIG 4 MILL

WATU wawili wanaosadikiwa kuwa majambazi waliokuwa wamevaa kikekike wameuawa na wananchi wenye hasira kali baada ya kuwakurupusha wakivunja duka usiku.

Mauaji hayo yalitokea eneo la Nyegezi Kijiweni, Kata ya Mkolani, wilayani Nyamagana jijini Mwanza, majira ya…

You can choose popular vehicles at a low price

Many cars are listed by sellers in Japan everyday.
once the sellers list a vehicle on tradecarview,
you can immediately see the newly added vehicles.

The reasons to choose tradecarview

  • High-quality Japanese cars
  • Many high-quality used Japanese cars in stock
  • Every cars registered in Japan must be inspected every 2 years therefore most of the cars are well maintained
  • Road conditions are good in Japan with hardly any rough ridings so tires are in good conditions

  • Japan’s top-notch service
  • Dealer representatives speaks English and Japanese
  • Some representatives can speaks other languages (i.e. Spanish, Russian and French)
  • tradecarview's English-speaking staff can help for your purchase
BIG 4 MILL

  • PayTrade is a payment service that will refund your money back if you do not receive the vehicle you ordered
  • Every cars registered in Japan must be inspected every 2 years therefore most of the cars are well maintained
  • Road conditions are good in Japan with hardly any rough ridings so tires are in good conditions
  • HTTP//BIG 4 MILL.BLOGSPORT.COM

TANGAZA SASA BIASHARA


Welcome to LHD Korean Vehicles Website.
Not Korean vehicles? Visit Japanese Vehicles Website.HTTP//BIG 4 MILL.BLOGSPORT.COM
Search by Ref No., Maker, Model of Chassis
NEW PRICE OFFER
Why Choose PicknBuy24.com






Listen to Customer's Voice
100% Satisfaction, Proven by 41,880 Customers
 
 
  Mr.Robert Ngosa   Ms. Catherina Habon
  Dear Kazuya, I could not believe my eyes when I saw the Car...   Dear Yunus, Thanks for your assistance from the beginning...
  See more   See more
Listen to all customers' voice
  • Car Request Alert
  • Haven't you found the vehicle you are looking for? Set up Car Request lert to receive email with new matches for your saved searches. Meet used cars for sale just arrived.


  • Regulation by Counties
  • Regulation by Countries
  • Click you region to see information.



SASA NINAAMINI NI NUDA MAALUM WA KUIAGA SIASA

 
BIG 4 MILLY


Mwimbaji wa kike aliyewahi kupata umaarufu kupitia wimbo wake , ‘Mr Politician’ Nakaaya Sumari amesema kuwa hatokaa arudie tena kugombea ubunge kwani alikuja kugundua kuwa alikosea kufanya hivyo.
Mwaka 2010 msanii huyo alijaribu kugombea ubunge wa Arusha Mjini kupitia  chama tawala, CCM lakini alienguliwa kwenye kura za maoni.
Alisema kuwa hataki tena kusikia masuala ya siasa tena kwani baada ya kugombea alijionea vitu vingi ambavyo anaona hataweza kuvifanya hivyo ni vizuri akabaki kuwa msanii.
Baada ya mchakato huo katika Kisiasa na ubunge, msanii huyo alikuwa hasikiki  tena kama ilivyokuwa awali.
Alisema kuwa ukimya huo ulitokana na mambo mbalimbali ya maisha ambapo pia alilazimika kuishi Arusha tofauti na mwanzo ambapo alikuwa akifanya shughuli zake za muziki jijini Dar es Salaam.
Alipokuwa  Arusha Nakaaya alisema alijaribu kuendelea kufanya muziki na pia kujaribu kuwaunganisha wasanii wa  huko kwa kuanzisha chama cha wasanii  mkoani humo ambapo mpaka anarejea Dar es Salaam aliwaacha wakiwa katika hatua ya usajili.
Mwanadada huyo anasema pamoja na hayo ameona kuwa shughuli zake za muziki haziendi kama awali kwasababu akiwa Arusha inakuwa ngumu kusambaza kazi zake.
Kwa sasa, Nakaaya anasema kuwa amerudi Dar es Salaam kwa ajili ya kufanya muziki wake kwa umakini tena kama awali, na mashabiki wake watarajie vitu vizuri kutoka kwake.
Msanii huyo aliachia wimbo wake mpya,  ‘Utu Uzima’ ambao amemshirikisha Dunga. Wimbo huo umerekodiwa katika studio za FishCrab chini ya Lamar.
Anasema msanii Rich Mavoko pia alimsaidia kuandika wimbo huo.
Msanii huyo  alianza kupata umaarufu kwenye muziki baada ya kushiriki mashindano ya kuimba yanayofanyika Nairobi, Kenya yanayojulikana kama ‘Tusker Project Fame’. Baadaye  alitoa albamu yake kwanza, ‘Nervous Condition’ iliyokuwa na wimbo wa ‘Mr Politician’ uliofanya vizuri  mwaka 2008.

My Blog List