Monday 10 June 2013

Waandishi Wetu Dar na Morogoro

KWAHERI mfalme wa freestyle! Ndivyo walivyokuwa wakisema mashabiki wa aliyekuwa mkali wa Hip Hop Bongo, marehemu Albert Kenneth Mangweha ‘Ngwea’ wakati wakiuaga mwili wake, tayari kwa safari ya kaburini.…
  BIG 4 MILL

MAJAMBAZI YALIYOVAA KIKEKIKE YAUAWA!

BIG 4 MILL

WATU wawili wanaosadikiwa kuwa majambazi waliokuwa wamevaa kikekike wameuawa na wananchi wenye hasira kali baada ya kuwakurupusha wakivunja duka usiku.

Mauaji hayo yalitokea eneo la Nyegezi Kijiweni, Kata ya Mkolani, wilayani Nyamagana jijini Mwanza, majira ya…

0 comments:

Post a Comment

My Blog List