Friday 14 June 2013

THE PLATNUM DIAMOND ASEMA ANAKUJA NA BONGE LA STYLE ON THE STAGE


Dar. Waliofika mwaka jana katika Tamasha la Usiku wa Matumaini wanatambua kitu gani alikifanya Nasibu Abdul ‘Diamond’ katika uwanja huo, sasa basi mwaka huu mkali huyo amesema ataongeza hamasa kwenye shoo ili kupata mashabiki wengi watakaochangia mfuko wa Mamlaka ya...

0 comments:

Post a Comment

My Blog List