Tuesday 11 June 2013

Baada ya Maojiano na Bongo5 Diamond alisema kwamba alishindwa kuhudhuria mashindano hayo kwa sababu alikua katika uzinduzi wa kinyaj kipya cha Novida kutoka katika Kampuni ya vinyaji Coca cola hapa Tanzania na imeweza kufanya balozi wa kinyaji hicho. Hiyo ndiyo sababu iliyomfanya star wa Bongo Flava Diamond kutokuhudhuria Tuzo hizo ambapo yeye pia alikuwa mshindi wa tuzo wakadha wakadha.

0 comments:

Post a Comment

My Blog List