BIG 4 MILL

big4mill.blogspot.com.

Wednesday, 10 July 2013

Clinton amtumia Mandela heri ya kuzaliwa

Rais Mstaafu wa Marekani, Bill Clinton BIG 4 MILL BY FESTO ERNESTY, Johannesburg. Siku chache kabla ya kusherehekea siku yake ya kuzaliwa, Rais Mstaafu wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, Rais Mstaafu wa Marekani, Bill Clinton, amemtumia salamu maalumu za kumtakia sherehe njema. Clinton ambaye ni rafiki wa karibu na familia ya Mandela,  aliyeungana na Dalai Lama na Askofu wa nchi hiyo, Desmond Tutu, walituma  salamu kwa njia ya video kwa vyombo vya habari jana....

Kenya yaongoza kwa ufisadi

.  Yaongoza kwa ufisadi kati ya nchi 107 ambako utafiti huo ulifanyika,jambo ambalo limewasikitisha waken Kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la Transparency International, Kenya imeshika nafasi ya nne kwa ufisadi ikiwa ni  miongoni mwa nchi 107 ambako utafiti huo ulifanyw. Ripoti hiyo ilibaini kwamba Wakenya saba kati ya 10 waliohojiwa walisema wamewahi kutoa hongo maishani mwao ili waweze kupata huduma moja hadi nane kati ya zilizochunguzwa. Kulingana...

Mghana alivyouawa kinyama Bagamoyo

  Mbali na Marwa, ambaye amesoma kozi ya urubani, mshtakiwa mwingine katika kesi hiyo ni Peter Charles Mayalla, ambaye ni mshtakiwa wa pili katika kesi hiyo Dar es Salaam. Salimu Mohamed Marwa (25) ni mshtakiwa wa kwanza katika kesi ya mauaji ya mfanyabiashara wa magari, raia wa Ghana, Jose ph Opong. Mbali na Marwa, ambaye amesoma kozi ya urubani, mshtakiwa mwingine katika kesi hiyo ni Peter Charles Mayalla, ambaye ni mshtakiwa wa pili katika kesi hiyo. Washtakiwa...

Monday, 8 July 2013

Baghdad ft Chid Benz & Ney wa mitego - Waambie Nipo  … ...

Comming Soon kutoka Endeless Fame Production ...

Hivi ndivyo Jay Z alivyosherekea uzinduzi wa Albam yake - Magna Carta Holy Grail Adrienne Bailon… A ...

BAUCHA HIVI KARIBUNI KUACHIA TRACK YAKE MPYA IITWAYO ZUM ZUM ...

QUEEN DARLEEN: KWENYE MAPENZI UBABE NAUWEKA PEMBENI Mwanahawa Abdul ‘Queen Darleen’. STAA wa muziki wa Bongo Fleva, Mwanahawa Abdul ‘Queen Darleen’ amesema pamoja na… ...

NEW AUDIO: WYNEM - "MWANAMBUZI" Msanii anayekuja kwa kasi katika muziki wa Bongo Flava hapa nchini Tanzania, ambae pia amaeshafanya colabo na wasanii wakali katika gemu akiwemo Linex, Suma Mnazareth, Nick Maujanja na wengineo muite Wynem jina halisi anaitwa Mahamud Issa. Gemu la muziki wa kizazi...

Thursday, 4 July 2013

FBI wakagua ofisi ya Kova kwa mbwa

  . Ofisa mmoja wa Usalama wa Marekani (FBI), akiwa na mbwa jana aliingia Makao Makuu ya Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam na kufanya ukaguzi. Tukio hilo lilitokea muda mfupi kabla ya msafara wa magari ya Marekani kupita yakitokea Ikulu kwenda Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere kumlaki Rais Barack Obama. Polisi ambaye hakutaka kutajwa alisema ofisa huyo  aliingia na mbwa hadi maeneo ya mapokezi, lakini muda mfupi...

Mandla: Mjukuu anayeinyima usingizi familia ya Mandela

Mjukuu wa Rais mstaafu wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, Mandla Zwelivelile Mandel Johannesburg. Mjukuu wa Rais mstaafu wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, Mandla Zwelivelile Mandela ambaye ameibua mgogoro mkubwa katika familia ya shujaa huyo wa Afrika katika mzozo wa makaburi amekuwa na mlolongo wa visa katika maisha yake. Visa hivyo kwa sehemu kubwa vinahusu maisha yake ya ndoa kwani ameoa na kuacha mara tatu huku akikabiliwa na kisa kingine cha kudaiwa kuuza haki za...

Michelle Obama: Acheni kufuatilia mavazi yangu

“Watu wanapaswa kuelewa, wake za marais nao hufanya mambo mazuri ya jamii na kazi yao siyo kubadili staili za nywele na mavazi tu,” Michelle Obama Dar es Salaam. Michelle Obama na Laura Bush walikuwa kivutio jana kwenye Mkutano wa wake wa marais wa Afrika unaoendelea Dar es Salaam, pale walipoongelea kwa mzaha jinsi vyombo vya habari vinavyoshupalia kuandika kuhusu staili za nywele na  mavazi ya wake wa marais, huku vikiacha masuala ya msingi. Mkutano huo uliofunguliwa...

Pinda aisaliti kauli yake, aruhusu tena sherehe

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda,  Dodoma. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, amewaagiza Watanzania kuwa na uzalendo wa kuwaenzi na kuwakumbuka wenzao ambao wamefanya kazi  muda mrefu kwa kuthamini mchango wao. Pinda alitoa kauli hiyo juzi katika viwanja vya Bunge, aliposhiriki hafla ya kuwaaga wafanyakazi waliostaafu utumishi na wale waliohamishwa kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) kuanzia 2010. Hata hivyo, Pinda alisema ...

Tuesday, 2 July 2013

DIMOND KTK SPORAN SHOW

diamond platinum with sporah  da prezident aka sukari ya warembo mwenyewe anajiita  sugar  with da crew  WASAAAAAFI HAWA NDIO MANIGAZ WA DIAMO...

BLOG YA NESTY BOY TWIST YAMNASA WEMA JINSI ALIVO JIPIGA TATOO

ni mtoto wema akiwa ktk harakati za kuamka.lakinBIG 4 MILLyamnasa jinsi alivo jipiga tato...

KATIKA BLOG YA NESTY BOY TWIST.DIAMOND AONESHA HADHARANI SIMU ZAKE ZA GARAMA

huyu  ndiye diamond mijisimu anayo tumia ni garama tupu .ni mamkwanja tuuuuuuuuuu yaliyo mjaaaa.BIG 4 MILL.07187182...

Maelfu wajitokeza barabarani kumuaga Rais Obama

Rais Obama akiwaaga watanzania waliofika katika Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam   Dar es Salaam. Rais wa Marekani Barack Obama amehitimisha ziara yake ya Afrika mapema leo, kwa kutembelea mradi wa uzalishaji umeme wa Symbion Ubungo, jijini Dar es Salaam. Katika hotuba yake Ubungo, Rais Obama alielezea jinsi mkakati wa serikali yake wa kuhakikisha Afrika inapata umeme utakavyoboresha maisha ya wakazi wa bara hili. Mapema...

Page 1 of 1612345Next

My Blog List